NINA SABABU
1. Nina sababu ya kukuabudu x2
Nina sababu ya kukusifu
Ukuu wako na uaminifu wako
Ni sababu ya kukuabudu
chorus
Hallelujah, nina sababu ya kukusifu
Ukuu wako na uaminifu wako
Ni sababu ya kukuabudu
2.uliniumba ili nikusifu
Kwa mfano wako uliniumba
Nina sababu ya kukuabudu
No comments:
Post a Comment